Friday, November 28, 2014

FELA: AWAOMBA WATANZANIA KUMSAIDIA BIBI CHEKA

Bibi Cheka na Saidi Fela
Hivi karibuni Bibi cheka aliomba watanzania tumsaidie mtonyo wa kujenga chumba kimoja cha matofali kwasababu hali yake kwa wakati huu kiafya sio nzuri, na licha ya kukwama kwenye matibabu akaomba kuchangiwa laki mbili ili aweze kukamilisha zoezi hili kwani tayari ana miliki matofali 400, na angependa kuvunja kibanda cha udongo na kujenga cha matofali

Nilimtafuta mkurugenzi wa kituo cha mkubwa na wanae ambao ndie wana mmiliki bibi cheka kama msanii, ili kujua kama wana mpango wowote wa kumpiga jeki bibi cheka coz ana muda mrefu pia hajatoa track.

Fella amefunguka kuwa aliamua kumsimamisha kazi bibi Cheka kutokana na umri kutokana na na kulaumiwa sana na baadhi ya makundi ya kidini ambayo yaliwahi kumhoji kwanini anamtumia bibi huyo katika muziki? ndipo akaamua kusitisha zoezi la kumpigisha show bibi kwa shingo upande.
Fela akamalizia kwa kuwaomba watanzania wamsaidie kumsaidia bibi cheka.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.