Friday, November 28, 2014

WEUSI KUJENGA MAKTABA 100 VIJIJINI KWA KUSHIRIKIANA NA WANANCHI

Weusi kampuni yenye members kama lord eyez, joh makini, bonta, Nikki wa pili na g nako wameazimia kujenga maktaba 100 katika vijiji 100 kwa kushirikiana na watanzania,

msemaji wa weusi Nikki wa Pili amefunguka kwamba kila mtanzania atachangia shillingi 100 kwa ajili ya kutengeneza maktaba 100 katika vijiji 100 na kila maktaba iwe na vitabu 100, na uchangiaji huo utakua kwa njia ya simu za mkononi, na wamebakiza vitu kidogo kuanzisha harambee hii.

Weusi kesho watakua ndani ya Escape 1 kupiga show ya "Funga Mwaka la Weusi"

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.