Friday, September 23, 2016

French Montana amvisha Iggy Azalea pete saba za "Diamond".


MAHABA NIUE..!! Hivyo ndo tunavyoweza kusema kwani kwa rapper French Montana anaonekana kuzama kwenye penzi na rapper Iggy Azalea baada ya Iggy kupost picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akionesha kiganja chake kilichovishwa pete saba za almasi huku akiambatanisha na ujumbe unaosomeka...“He told me pressure makes diamonds,”.Ameanika Iggy Azalea ambae hapo awali alikua kweye mahusiano na mcheza kikapu wa ligi kuu ya Marekani (NBA),Nick Young.
A photo posted by Iggy Azalea (@thenewclassic) on


Hii si mara ya kwanza kwa wawili hawa kuweka wazi mapenzi yao kwani mwezi uliopita zilisambaa picha zikiwaonesha waki-kiss walipokua mapumzikoni nchini Mexico.





Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.