Monday, September 5, 2016

Jumatatu ya September 12 ni sikukuu ya Eid Elhaj.


Shekh Mkuu wa Tanzania Abubakari Zubeiry ametangaza jumatatu ya September 12 kuwa sikukuu ya Eid Elhaj.

Eid Elhaji  husheherekewa kama kumbukumbu ya sadaka ya Ibrahimu ambaye kufuatana na mafundisho ya vitabu vya dini  alikuwa tayari ya kumchinja mwanawe kama sadaka kwa Mungu. Lakini Mungu alimzuia asimchinje akampatia kondoo badala yake.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.