Sunday, September 11, 2016

"Nyaku Nyaku's"ajitokeza,amwita Zari bibi kizee.



Baada ya mama watoto wa Mwanamuziki Diamond Platnumz,Zari kupost picha akiwa na Diamond na kutuma ujumbe kwa wanawake wanaotajwa kuchepuka na mwanamuziki huyo akiwaita "Nyaku Nyaku''s" kwa madai kuwa hawana ujasiri wa kuwaweka wapenzi wao hadharani,Hataimae amejibiwa na Mwanamitindo na Video Vixen kutoka nchini Kenya,Hudda Monroe alieenda mbali  kwa kumuita bibi na kuongeza kuwa Mwanamama huyo anaedaiwa kuwa na ujauzito wa pili kwa Diamond anatafuta kiki.


                                                      Hudda Monroe.

Kwa muda sasa mitandaoni kuwemo na taarifa za Diamond kutoka kimapenzi na warembo wengine huku Mwanamitindo Hamisa Mabeto akiwa miongoni mwa wanamitindo wanaotajwa ku-share kitanda na hit maker wa singo ya "Kidogo",hivyo huenda majibizano haya ya mitandaoni yakaibua mengi tusiyoyajua.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.