Friday, September 23, 2016

VIDEO:Mzazi mwenza wa Ben Paul atoa ya moyoni baada ya Ben Paul "Kudendeka" na Snura.



Wiki chache baada ya picha kusambaa mitandaoni zikimuonesha Hit Maker wa ngoma kali za R&B,Ben Paul akidendeka na Mwanamuziki Snura Mushi walipokua Mkoani Singida kwenye Tamasha la Fiesta,ambapo pia walioekana mara kadhaa wakikumbatiana na kupigana mabusu wakiwa kwenye moja ya majukwa ya Fiesta,Hatimae mzazi mwenza wa Ben Paul,Latifa Mohamed,amedai kuwa kamwe hawezi kumfatilia mtu kwani aliagwa na Ben kuwa anaenda kazini,hivyo anachojua Ben Paul yupo kazini.


             Snura.

Tazama Mahojiano yake na Clouds E.







Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.