Wednesday, September 21, 2016

VIDEO:Utacheka na majibu ya The Game kuhusu bifu yake na Meek Mill na ku-date na Kim Kardashian.

Rapper The Game ameeendeleza ubabe na kauli zenye utata kwani wakati ambao bifu yake na rapper Meek Mill ikizidi kutokota,huku chanzo cha bifu yao kikidaiwa kuwa ni madai ya The Game anaedai kuwa Meek Mill alipeleka taarifa za kizushi kwenye kambi ya Mwanamuziki raia wa Jamaica Sean Kingstone kuwa yeye na timu yake walihusika kwenye wizi wa cheni ya Sean Kingstone yenye thamani ya kisai cha  $300k.

Sasa basi kupitia kipindi cha "The Wendy Williams Show" The Game amefunguka baadhi ya mambo tusiyoyajua kuhusu bifu yake na Meek Mill,ishu ya yeye kutoka kimapenzi na baadhi ya warembo kutoka kwenye familia ya Kardashian girls,bifu yake ya zamani na 50 Cent bila kusahau ujuo wa album yake mpya aliyoipa jina 1992

Kuhusu Meek Mill: “It’s just a little hip-hop beef…We haven’t had a fight yet. It’s not a fight. It’s just hip-hop…It comes down to a point where, you’ve gotta deal with it as it comes. I feel like I was violated.”

 "Hii ni bifu ya kimuziki,ni shemu ya muziki wa Hip Hop,hatujafikia hatua ya kupigana...ila inaweza kumalizika nikiamua,Nadhani nimekosewa heshima"



Kuhusu maisha ya muziki na bifu : “Nobody’s perfect. We all have days where we’re at fault and we make mistakes. Some days are good. Some days are bad. You’ve got to take them all together.”

"Hakuna mtu aliekamilika,kuna muda huwa tunapotea na kufanya makosa,kuna wakati mzuri na wakati wa matatizo kwenye maisha.unatakiwa kukubaliana na kila hali"
 
 Kuhusu bifu yake na  50 Cent: “We were in a strip club in L.A. and I just stepped to him. We talked for about 15 minutes and we kind of hashed it out. We left on good terms…It’s over now.”

"Tulikutana Casino L.A,nilimsimamisha na tuliongea kama dakika 15,tupo vizuri...nadhani mimi na yeye tumemaliza"

Kuhusu Tamthilia ya 50 Cent ,“Power”: “I watch ‘Power.’ I definitely would [act in the series]. I like ‘Power.’ It’s a good show.”

"Huwa naitazama,natamani ningekuwemo ndani...ni show kali"


Kuhusu album yake mpya "1992": “1992 was the first year that I joined a gang. At that point in my life, I was getting pulled in both directions. I grew up in a Crip neighborhood but my brothers were Bloods. It was sort of a tug-of-war. That’s how it is in Compton. Once you get close to your teenage years, gangs start pulling at you. It’s almost 99 percent that you’ll probably join a gang.”

"Mwaka 1992 ndio mwaka nilioamua kuingia mtaani,Ni sehemu ya maisha ambapo nilikumbana na changamoto nyingi.Nilikulia kwenye mtaa ambao nilishuhudia ndugu zangu wakipoteza maisha,naweza kusema ilikua ni vita.Hayo ndo maisha ya mji wa Camton kwani baada ya balehe unajikuta ukivutwa kijiingiza kwenye makundi ya mitaani.Naweza kusema asiilimia 99 utakua sehemu ya makundi hayo"

Kuhusu kutoka kimapenzi na warembo wa familia ya Kardashians: “It was three [Kardashians]. It gets a little tricky. [Black] Chyna ain’t married yet…But it’s all good if it’s facts. And she cool too.”

"Yeah nimepita na watatu kati yao,ilinichanganya kidogo,....hata Blac Chyna pia...najua hajaolewa bado,ila ukweli unabaki kuwa tupo poa"
  
Kuhusu ku-sex na Kim Kardashian: “I’ll tell you this. Kanye is a really good friend of mine and they’ve got really beautiful kids and I don’t want to disrespect their family.”

"Nachoweza kusema ni kwamba Kanye West ni miongoni mwa marafiki zangu wakubwa,Mimi na yeye tuna watoto wazuri na sitaki kuikosea heshima familia yake"


Kuhusu ku-sex na  Khloe Kardashian: “Sometimes it gets late at night and people…I don’t know.”

"Muda mwingine najichanganya hadi usiku wa manane na watu...Sikumbuki"


Kuhusu ku-sex na Kourtney Kardashian: “No.”

"Hapana"

Kuhusu ku-sex na Kylie and Kendall Jenner: “They’re not Kardashians.”

"Hao sio sehemu ya hiyo familia"

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.