Tuesday, October 11, 2016

PICHA:Mchekeshaji Eric Omond aendeleza vituko vyake uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta akimpokea mpenzi wake.




Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omond amefanya kituko kingine mbele ya mpenzi wake ambae ni raia wa Italia Chantal Graziol.



Ishu nzima ilianzia wakati mrembo huyo alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta akitokea kwenye ziara ya maenesho ya mitindo barani ulaya,ambapo Eric alimpokea mpenzi wake akisindikizwa na kikundi cha ngoma cha 'Masai Dance'.



Mchekeshaji huyo aliejipatia umaarufu nchini kutokana na aina yake ya uchekeshaji wa kuigiza maisha ya watu maarufu,hakuishia hapo kwani alimzawadia mpezi wake gari jipya lililokua uwanjani hapo tayari kwa kuwapeleka nyumbani.Kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika; “Mungu akileta bibi analeta na Gari yake MyBabysNewBaby”.
A photo posted by Eric Omondi (@ericomondi) on




Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.