Tuesday, October 11, 2016

Vanessa Mdee awaongoza mabinti wa kitanzania kwenye mdahalo ulioandaliwa na Mke wa Rais wa Marekani,Michelle Obama.




Mwanamuziki Vanessa Mdee amewaongoza mabinti wa Kitanzania kwenye ofisi za ubalozi wa Marekani nchini  wakishiriki mdahalo  uliandaliwa na Mke wa Rais wa Marekani Michelle Obama ukiwajumuisha wasichana kutoka  mataifa mbalimbali ulimwenguni katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani ambapo mada kuu katika mdahalo huo mwaka huu ni 'Umuhimu wa Elimu Kwa Msichana'

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.