Tuesday, November 1, 2016

VIDEO:Mke wa Mbunge Lema ashtakiwa kwa kumtumia Mkuu wa Mkoa ujumbe wenye neno 'Shoga'.

Mke wa Mbunge wa Arusha Mjini, Neema Tarimo amefikishwa mahakamani jijini Arusha na kusomewa shtaka la kumtukana Mkuu wa Mkoa, Mrisho Gambo baada ya kumtumia ujumbe kwenye simu yake wenye neno 'shoga'.
 


Mke wa Mbunge huyo amekana kumtusi Mkuu huyo wa Mkoa baada ya kudai kuwa neno shoga sio tusi bali ni neno ambalo hulitumia kuwaita marafiki zake na kuongeza kuwa  neno shoga kwenye mazingira ya Tanzania humaanisha rafiki. 
 


Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.