Kutoka ardhi ya Makaburu na Wazulu Bondeni, South Afrika, Bw'Mdogo anaitwa Nasty'c hii hapa chupa ya ngoma yake mpya "Pressure" Bonyeza play button hapo chini, Halafu acha komenti zako.
Showing posts with label Music and Video. Show all posts
Showing posts with label Music and Video. Show all posts
Friday, December 30, 2016
Monday, October 3, 2016
Tegemea Kumsikia Ali Kiba Kwenye Koilabo Na Navy kenzo
Baada ya KAMATI CHINI pamoja na nyimbo ya GAME kupenya katika mipaka ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla kundi matata la muziki kutoka TANZANIA linaloundwa na couples wawili AIKA pamoja na producer bora wa mwaka 2015-2016 NAHREEL wameingia jikoni na kupika hits nyingine kibao ikiwemo colabo ambayo tayari imefanywa pamoja na ali kiba
Lakini pia Navy kenzo limekuwa kundi pekee ambalo limechaguliwa kutoka TANZANIA kupeperusha bendera kwenye msimu mpya wa nne wa COKESTUDIO AFRIKA ambayo inafanyikia nchini kenya
Vile vile kundi hilo limekuwa nominated katika tuzo mbili kubwa AFRIKA MTV MAMA zitazofanyika october 22 SOUTH AFRICA ukumbi wa ticket pro Dome pamoja na wats up tv africa video music award 2016 za GHANA
Hivyo wanawaomba mashabiki wao kuwa pigia kura kama kundi bora kutoka Afrika ili wapate kunyakua tuzo hiyo
Saturday, September 10, 2016
Video | Barnaba Classic - Lover Boy (Official Music Video)
Ni muimbaji Barnaba tene kwenye tambala lako iwe simu laptop au tv ankupatia nafasi ya kukiangalia kichupa cha hitsong yake Lover Boy, Kichupa Kimefanyika Kwetu Studio.
Enjoy Nayo:
Mama WEMA Sepetu Adai Man Fongo Ni Mchafu Hajui Kuoga:
Enjoy Nayo:
Mama WEMA Sepetu Adai Man Fongo Ni Mchafu Hajui Kuoga:
Friday, September 9, 2016
Music | Tid Ft. Joh Makini - Confidence (Official Music Video)
Baada ya audio ya ngoma "Confidence" ya mnyama TID aliyowashirikisha Mwamba Joh Makini na Dully Sykes kufanya vizuri kwenye vituo tofauti vya radio na mitandao mbalimbali hatimae Video rasmi ya ngoma hiyo imeachiwa rasmi.
ULIONA HII YA WOLPER AKIZICHEZEA NYETI ZA HARMONIZE HADHARANI?
ULIONA HII YA WOLPER AKIZICHEZEA NYETI ZA HARMONIZE HADHARANI?
Music | Gclassy - Repete (Official Music Video)
Rapa na muimbaji Gclassy kutoka YGA Label ameachia kichupa cha ngoma yake mpya "Repete" Video imefanyika Dar es salaam Tanzania na Director Dearmant.
Repete inakua ni video yake ya nne.
UNAWEZA KUIANGALIA HAPA CHINI:
Repete inakua ni video yake ya nne.
UNAWEZA KUIANGALIA HAPA CHINI:
Tuesday, September 6, 2016
NEW VIDEO:Burna Boy,'Pree Me".
Baada ya kukaa kimya kwa muda hatimae mkali wa miondoko ya ragger kutoka nchini Nigeria Burna Boy amerudi na smash video inayoitwa "Pree Me".
Kwenye video hii Burna Boy asikika akiimba juu ya maisha hasa usaliti na wivu miongoni mwa marafiki..."Lately I've been on my toes, enemies been on a mission/ Fuck 'em I'ma do the most, see them multiplying.".Anasikika Burna Boy.
Kwenye video hii Burna Boy asikika akiimba juu ya maisha hasa usaliti na wivu miongoni mwa marafiki..."Lately I've been on my toes, enemies been on a mission/ Fuck 'em I'ma do the most, see them multiplying.".Anasikika Burna Boy.
Wednesday, August 31, 2016
Video | Rayvanny - Natafuta Kiki
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye kiu ya mashabiki wa msafi Rayvanny all the way from Mbeya Tanzania imekatika baada ya muimbaji huyo kuachia video rasmi ya wimbo wake natafuta kiki.
Msanii Rayvanny wa Label ya Wcb Wasafi ameachia rasmi video ya wimbo wake Natafuta kiki uliotoka takribani miezi miezi mitatu iliyopita.
Huenda video hii ikaifanya Natafuta Kiki kurudi kuwa hitsong kutokana na umakini ambao uongozi wa rayvanny na Kwetu Studio wameuonesha kwenye kichupa hiki.
Balaa La Faiza Ally Kwenye Promo Ya Biashara Yake
Msanii Rayvanny wa Label ya Wcb Wasafi ameachia rasmi video ya wimbo wake Natafuta kiki uliotoka takribani miezi miezi mitatu iliyopita.
Huenda video hii ikaifanya Natafuta Kiki kurudi kuwa hitsong kutokana na umakini ambao uongozi wa rayvanny na Kwetu Studio wameuonesha kwenye kichupa hiki.
Balaa La Faiza Ally Kwenye Promo Ya Biashara Yake
Thursday, August 18, 2016
Music | Jidenna - Chief Don't Run (Official Music Video)
Jidenna ametuangushia kicupa cha ngoma yake mpya Chief Don't Run
Fanya kama unakiangalia hapo halafu niambie unakionaje.
ANGALIA HAPA VIDEO MPYA YA SAMATA A- KODO
Thursday, August 11, 2016
Video : Dully Sykes Ft. Harmonize - Inde
Baada ya kuitambulisha rasmi kwenye XXL ya cloudsfm, Dully Sykes ameamua kuiachia pia video yake Mpya "Inde" aliyomshirikisha Harmonize Kutoka WCB Wasaafi Enjoy Nayo Hapa.
Wednesday, February 26, 2014
VIDEO: HIKI NDIO CHANZO CHA OSTAZ JUMA KURUHUSU PNC AMPIGIE MAGOTI
![]() |
| Ostaz akiwa amekaa na PNC aliyepiga magoti |
Baada ya aliyekua Boss
wa zamani wa msanii PNC kupost picha
zinazomwonyesha msanii akiwa amempigia magoti ili kumwomba msamaha Boss
wake
(Ostaz Juma na Musoma) amrudishe kwenye management yake ya mtanashati
imekua
gumzo wengi wakihoji uhalali wa ostaz juma kufanya kitendo hicho
walichokiita
cha kinyanyasaji, sasa Ostaz Juma amepiga story na www.makorokocho.co na
kusema huo si unyanyasaji na mbona hata vijijini wanawake hupiga magoti
kusalimia wanaume? naendelea kunukuu "PNC anajua amefanya nini,
kwasababu anataka msaada wangu wa kipesa so mtakacho cha uvunguni sharti
ainame, awali nilitumia zaidi ya milioni 20 kumsaidi PNC ki muziki na
mkwanja wote huo haujarudi na matokeo yake akawa anaenda kufanya
Interview bila kuniambia, bila hata kunishukuru kwenye media kwa
kunitaja.
Tuesday, February 18, 2014
Monday, February 17, 2014
VIDEO: SHILOLE AMTEMBELEA MAMA YAKE ANAYEISHI KIJIJINI IGUNGA
Thursday, February 13, 2014
MAHUSIANO YA CRAZY GK NA DIVA SIO SIRI TENA (NI PENZI KATI YA GANGSTAR NA SISTA DU)
Ilikua
inasemekana weee wakaulizwa wakachomoa hatimaye Mahusiano ya kimapenzi
kati Diva na King Crazy GK yako wazi wazi sio siri Tena kitu Pyaaaaa
baada ya Mtangazaji huyo wa Clouds fm kupost picha kwenye ukurasa wake
wa Instagram huku anaonekana Kamanda wa East coast Team akim'bandika
busu moja la shavu linaonekana kuwa linatoka Kumoyo,
![]() |
| Post ya Diva on Instagram |
Patamu
hapo!! kwa haraka haraka usingeweza hata kuhisi kama watu hawa wawili
wanaweza kushare Apple kutokana na GK kuwa Gangstar flani hivi na Diva
kuwa na mtazamo wa kisista Duu sanaaaa, lakini ndo hivyo mambo
hadharani, i hope siku moja watakuja kufunguka jinsi ambavyo walikutana
mpaka wakaamua kuanzisha mahusiano, nawatakia maisha mema kitu mpaka
ndoa miaka mia naneeeeeeeeeeeee...................
Wednesday, February 12, 2014
VIDEO : BRAND NEW ZAIID - SIJULIKANI
Brand New MUsic Video kutoka kwa Rapper Zaiid Mnete inaitwa Sijulikani, Enjoy Flava kutoka Tamaduni Music
Monday, February 10, 2014
VIDEO: Uzinduzi Wa Didas Facion Entertainment (Internet Radio & Tv) United Kingdom
![]() |
| Didas Facion wa Turabi akiwa Ubalozi wa Tanzania |
Monday, May 27, 2013
BEN POL : NGOMA YANGU MPYA "JIKUBALI" SIJAI COPY NA KU PASTE KUTOKA KWA THE SCRIPT
Baada ya kuwepo rumors kuwa RnB Singer Ben Pol ame copy na kupaste wimbo wake mpya alioutoa hivi karibuni "Jikubali" fununu zikasambaa mtaani kuwa eti ngoma hiyo inafanana na wimbo unaoitwa Hall of Fame uliotoka mwezi wa nane mwaka 2012 na kuimbwa na kundi linaitwa The SCRIPT wakiwa wamemshirikisha Will.i.am , sasa Ben PoL amepangua shuti na kusema kuwa haujui huo wimbo, na yeye hajacopy kokote, ila alichofanya wakati ana record ngoma hiyo mpango wake ulikua ni kufanya wimbo wenye melody nyepesi na anahisi ndio maana watu wanaufananisha na "Hall of Fame", Ben akaongeza kuwa wimbo wake haufananishwi tu na Hall of fame bali kuna nyingine kama tatu zaidi watu wanamwambia zinafanana na ngoma yake, na yeye kabla ya kuutoa alijua tu akifanya Melody nyepesi kama hiyo ambayo hata mtoto rahisi kushika basi yatasemwa mengi.
Na kwa mujibu wa changamsha genge za mtaani , zinadai kuwa eti kuanzia Idea ya kinachozungumziwa ndani ya nyimbo hizo mpaka melody zake zinafanana kinoma noma.
Iwapo itathibitika kuwa Ben PoL amecopy na kupaste ngoma yake, basi itakua ni aibu na kashfa kubwa kwake kwani kwa sasa hivi ndo anachukuliwa kama ndo msanii mkali wa RnB Tanzania yani kama taji la ufalme wa RnB bongo basi yeye ndo analishikilia na wengine wanafata kama Belle 9 na wengineo.
Ben PoL pia ametajwa mara 5 katika categories mbalimbali za Kili music awards.
Source: Gazeti la Makorokocho.
Iskize JIKUBALI YA BEN POL:
KISHA ULINGANISHE NA UNACHOKISKIA KATIKA VIDEO HII :
Na kwa mujibu wa changamsha genge za mtaani , zinadai kuwa eti kuanzia Idea ya kinachozungumziwa ndani ya nyimbo hizo mpaka melody zake zinafanana kinoma noma.
Iwapo itathibitika kuwa Ben PoL amecopy na kupaste ngoma yake, basi itakua ni aibu na kashfa kubwa kwake kwani kwa sasa hivi ndo anachukuliwa kama ndo msanii mkali wa RnB Tanzania yani kama taji la ufalme wa RnB bongo basi yeye ndo analishikilia na wengine wanafata kama Belle 9 na wengineo.
Ben PoL pia ametajwa mara 5 katika categories mbalimbali za Kili music awards.
Source: Gazeti la Makorokocho.
Iskize JIKUBALI YA BEN POL:
KISHA ULINGANISHE NA UNACHOKISKIA KATIKA VIDEO HII :
Subscribe to:
Posts (Atom)
Comments System
facebook
















